*DAWA YA PID & UTI*
Viambata🌿
1. Vitunguu swaumu 2
2. Vitunguu maji 3
3. Karafuu kijiko 1
4. Mdalasini kijiko 1
5. Karoti 2
6. Limao 2
7. Tangawizi 1
8. Binzari 1
9. Juisi ya ukwaju ½ lita
10. Asali mbichi ½ lita
*Namna ya kuandaa*
- Tengeneza juisi asilia ya ukwaju, kwa kuloweka ½ kilo ya ukwaju kwenye maji ½ lita
—Acha kwa masaa 6 hadi 12
—Chuja na upate juisi yako
- *Osha na safisha viambata vyako vyote*
—Menya vitunguu swaumu
—Katakata vinguu maji
—Katakata karoti
- *Saga viambata vyako vyote kwenye blender, au twanga kwa kinu.*
—Chuja kwa kutumia kitambaa safi, kamua kabisa ubakishe makapi kavu.
—Baada ya kupata juisi yako, kamlia vipande vya limao.
*Matumizi:*
Kunywa vijiko vinne asubuhi mchana na jioni, kabla ya mlo.
*—Faida yake nyingine ni pamoja na: kuzibua mirija ya uzazi, kutibu fungus za za sehemu za siri, kutibu mshipa wa ngiri, kuongeza nguvu za kiume, kutibu ulcers, kubalansi presha, kuondoa chelosterol mbaya, n.k*
Mdharau asili hufa kikatili
No comments:
Post a Comment