Siku ukiumwa HIV
Usikimbulie kumeza dawa, kwanza kaa kama mwezi mzima unatumia juice ya kitungu swaumu + ukwaju.
Siku ukiumwa homa
Usikimbilie kumeza dawa, kwanza kaa kama siku 5 kunywa chai ya majani ya mpera + mchaichai.
Siku ukiumwa malaria
Usikimbilie kumeza dawa, kwanza kaa kama siku 7 ukinywa kahawa.
Siku ukiumwa minyoo
Usikimbilie kumeza dawa, kwanza kaa kama siku 4 unasaga mbegu za mpapai + kitungu swaumu.
Siku ukiumwa homa ya ini
Usikimbilie kumeza dawa, kwanza kaa kama miezi 3
> Acha pombe
> Punguza uzito
> kula kachumbali kwa wingi
> Tafuna vitungu maji
> Chemsha Fologeba ndani ya wiki 1unapona
No comments:
Post a Comment