π SIRI ZA ABDJADI – MILANGO YA MAARIFA YA MBINGU NA ARDHI
✍π½ Imeandikwa na Dr Magowo
π£ Imeletwa kwenu na: FOLLOW π Angaza Nuru
---
ABDJADI si tu alfabeti ya Kiarabu – bali ni safu ya kiroho ya namba, sauti, na tafsiri za mbinguni. Wenye hekima na wachawi walificha maarifa ndani ya kila herufi!
π Kila herufi ni mlango
π Kila namba ni agano
π Kila sauti ni mtetemo unaofungua ama kufunga
---
π MFANO WA ABDJADI:
1. Alif (Ψ§) = 1 = Chanzo, muanzo, nuru ya kwanza
2. Ba (Ψ¨) = 2 = Kivuli, jicho la siri, mwanzo wa ufunuo
3. Jim (Ψ¬) = 3 = Muunganiko wa mwili, roho na nafsi
4. Dal (Ψ―) = 4 = Milango ya dunia nne, maumbile ya mwanadamu
Na kadhalika mpaka herufi ya mwisho Ya (Ω) = 10 = Ulimwengu wa roho, mwisho wa mzunguko na mwanzo mpya.
---
π― Wenye maarifa walitumia herufi hizi:
Kuandika majina ya siri
Kuficha maombi yenye nguvu
Kufungua milango ya nyota, elimu, na tiba
Kuweka maneno ya baraka au laana kwenye maji, vumbi au maandishi
---
π₯ JE WAJUA?
Katika dua nyingi za Qur’an na Zaburi, herufi za abdjadi zimetumika kuficha jina la Mungu au mwelekeo wa maombi!
π§ Siri za maneno kama: "Alif Laam Miim" au "Kaaf Haa Yaa Ain Saad"
π Ni sehemu ya fumbo la abdjadi – ambazo wakufunzi wa kiroho walizitunza kwa miaka!
---
π§² Unapotamka herufi kwa kutafakari (mantra), mwili wako hujibu, roho yako hufunguka, na ulimwengu wa kiroho hukusikiliza.
π―️ Leo tambua: sauti zako zinaweza kuumba, kufungua milango ya mbinguni, au kuvunja minyororo ya kipepo.
---
π#SiriZaAbjadi
π#HerufiZaNguvu
π#DrMagowo
π#AngazaNuru
π#MaombiYaKifumbo
π#ElimuYaKiroho
No comments:
Post a Comment