Tuesday, November 12, 2024

Majani Ya Mbaazi

Majani Ya Mbaazi Husaidia kusafisha na kuondoa uchafu katika tumbo la uzazi baada ya kujifungua, pia kama umeshajifungua au mimba imeharibika ila bado unahisi maumivu ya tumbo, hii ni njia mbadala ya haraka ya kukupa nafuu na kukuponesha kabisa. Namna Ya Kuyatumia ni simple sana, CHUMA MAJANI KIASI KISHA CHEMSHA KWENYE KIASI CHA MAJI ikipoa weka kwenye kikombe kimoja kidogo cha chai na unywe asubuhi, mchana na jioni. Ni vyema mgonjwa uwe umeshakula na kushiba kabla ya kunywa dawa hii maana ina nguvu FAIDA ZA ZIADA ZA KUTUMIA MAJANI YA MBAAZI ~Kukausha uke wenye maji mengi kupitiliza ~Kuongeza joto ukeni wakati wa s*x ~Kuongeza hamu ya tendo la ndoa (kwa wanawake wasio na hamu ya kushiriki faragha) ~Husogeza kizazi karibu ~Kusafisha kuta za uke Endelea kujiweka mbali na maambukizi, kunywa maji, kuwa msafi na kula vizuri, ujiweke mbali na magonjwa ya uzazi Iwapo una changamoto katika uzazi na ungependa kujua namna ya kuitatua, tuandikie changamoto yako kwenda WhatsApp namba 0763872652 Pia tunayo MIXED HERBS POWDER .... dawa iliyoandaliwa ambayo ni mahsusi kwa changamoto yako na kwa ajili ya mfumo mzima wa uzazi na hormones kwa mwanamke Ni dawa ambayo imeandaliwa kwa mchanganyiko wa dawa asili za uzazi kama shivatar, mrehani, mjafari, oregano, shamari n.k ambayo - Inasafisha via vya uzazi kama kutoa msongamano wa maji machafu kwenye mirija ya uzazi na fuko la uzazi, kuondoa infections za bakteria na fangasi (P.I.D) -Inaondoa makovu na vivimbe kwenye fuko la uzazi, kwenye mirija na kwenye vifuko vya mayai (fibroids, scars and ovarian cysts) - Kwa kuwa imechanganywa na mrehani ndani yake, dawa hii inawasaidia wanawake kuondoa changamoto ya mvurugiko wa homoni kwa wale wasiopata hisia za kufanya mapenzi, tatizo la uke mkavu, period kupishana, maziwa kujaa/kuuma damu ya hedhi kutoka mabonge, utelezi, mayai kutokupevuka n.k....

No comments:

Post a Comment